M

Kwake Baba Yehova

Kwake Baba Yehova

Kwake Baba tumepewa uchindi, kwake tume pewa utukufu, kama
Nilichinda magumu leo, sio kwaku
Penda yangu, ila yule ninaye mutegemeya kila siku, ata nipiganiya. Ndugu usiyogope mazingira unayo yapitiya, juwa kuna
Mungu. Yeye asiye chindwa na kitu, atakupiganiya. Mengi tume ya pitiya
Kwa dunia hii lakini tumepewa utukufu kwa yule anbaye atuku weza
Tegemeya, siku zote. Yeye alikuwa, msahidizi wakati wachida. Wengi wame tuacha kwa zarau wakati wamagumu. Lakini yule anaye tuchindiya awezi tuwacha, kwake tume pewa amani. Piya _ a ku angaliya upendeleo wamtu, lakini ali inuwa wazahifu na piya wale waliyo kata tamaa kwa maicha.

Kwake Baba Yehova